LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 1, 2025

DKT. MADELE AMSHUKURU MUNGU KWA KUREJESHA SALAMA FOMU ZA UBUNGE DODOMA MJINI


Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Dkt. Fabiani Madele amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Dodoma Mjini.

Fomu hizo zilipokelewa na Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini, Sophia Kibaba Julai Mosi, 2025.



 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages