Afisa Mwandamizi wa Ofisi ya Rais, Dkt. Fabiani Madele amerejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kinyang'anyiro cha ubunge Jimbo la Dodoma Mjini.
Fomu hizo zilipokelewa na Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma Mjini, Sophia Kibaba Julai Mosi, 2025.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇