LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 15, 2025

DIRA MPYA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 YAKAMILIKA, KUZINDULIWA NA RAIS SAMIA JULAI 17



Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Julai 15, 2025, kuhusu uzinduzi wa Dira mpya ya Taifa ya Maendeleo 2050. utakaofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete Dodoma Julai 17, 2025.
Mkuu mpya wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Tume ya Taifa ya Mipango, Titus Kaguo (kushoto) akiteta jambo na Katibu Mtendaji wa Tume hiyo, Dkt. Msemwa wakati wa mkutano huo.
Waandishi wa Habari wakiwa katika mkutano huo.









 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages