Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akifuatilia Hotuba ya Mapendekezo ya Serikali kuhusu Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 akiwa ofisini kwake, katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Alhamisi, tarehe 12 Juni 2025. Pamoja naye ni maofisa waandamizi wa CCM Makao Makuu.
Your Ad Spot
Jun 12, 2025
DKT. NCHIMBI AKIFUATILIA BAJETI KUU YA SERIKALI
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About CCM Blog INVITEE
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
.jpeg)

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇