Baadhi ya wakulima wa mazao ya kahawa, mahindi, maharage na viazi Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kuwapatia mbolea ya ruzuku inayosambazwa na Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) ambayo imesaidia kuongeza uzalishaji wa mazao yao.
Your Ad Spot
May 18, 2025
WAKULIMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAPATIA MBOLEA YA RUZUKU YA TFC
Tags
featured#
Habari#
Share This
About CCM Blog INVITEE
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇