Baadhi ya wakulima wa mazao ya kahawa, mahindi, maharage na viazi Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kuwapatia mbolea ya ruzuku inayosambazwa na Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) ambayo imesaidia kuongeza uzalishaji wa mazao yao.
May 18, 2025
WAKULIMA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUWAPATIA MBOLEA YA RUZUKU YA TFC
Tags
featured#
Habari#
Share This
About Blog Updates👇🏻
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇