Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuipokea kutoka kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika viwanja Bunge Jijini Dodoma tarehe 31 Mei, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo.Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza katika hafla hiyo.
May 31, 2025
RAIS DK. SAMIA ATUNUKIWA TUZO MAALUMU YA HESHIMA NA BUNGE LA TANZANIA
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This

About CCM Blog
RAIS DK. SAMIA ATENGUA UTEUZI WA POLEPOLE, AMUONDOLEA HADHI YA UBALOZI
INEC YAZINDUA RATIBA YA UCHAGUZI MKUU 2025, IDADI YA WAPIGA KURA YAPAA KWA ASILIMIA 26.55 , POLISI WAKABIDHIWA MAJINA YA WALIOJIANDIKISHA MARA MBILI
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA MAJESHI YA ULINZI WA TANZANIA DK. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA, LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇