Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa mwaka 2025-2030 kutoka kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho kwa upande wa Tanzania Bara Ndugu Stephen Wasira mara baada ya kuizindua kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 30 Mei,2025.
Dkt. Samia akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM kwa mwaka 2025-2030 katika ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) Jijini Dodoma tarehe 30 Mei,2025.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇