Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akikagua mabanda mbalimbali yanayojihusisha na vyama vya ushirika, kilimo na Taasisi mbalimbali alipohudhuria leo kongamano maalumu kuelekea uzinduzi wa Benki ya Ushirika utakaofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Aprili 28, 2025 jijini Dodoma.
Chama Kikuu cha Ushirika cha Tandahimba na Runali.
Akiwa Banda la BBT.
Chama Cha Ushirika Kyela (KYECU)
Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe.
Majaliwa akipata maelezo kuhusu kilimo cha mwani.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇