Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Ndg. Stephen Wasira akizungumza na Mwenyekiti wa CCM Moka wa Dar eĹ› Salaam Ndg. Abasi Mtemvu leo April 05, 2025 katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Ilala Jijini Dar Es Salaam
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila akizungumza na Viongozi wa CCM leo April 05, 2025 katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Ilala Jijini Dar Es Salaam
Mbunge wa Jimbo la Ilala Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu akizungumza na Viongozi wa CCM leo April 05, 2025 akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Ilala Jijini Dar Es Salaam
Viongozi na wajumbe wa mkutano Mkuu jimbo la Ilala wakifuatilia Mkutano huo
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇