Mbunge wa Njombe Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Deodatus Mwanyika akizungumza wakati wa ufunguzi wa Benki ya Ushirika Tanzania ambapo pamoja na mengine alimuomba Rais Samia Suluhu Hassan kwamba itakapompendeza katika Baraza la Mawaziri lijalo amrejeshe tena Hussein Bashe kuwa Waziri wa Kilimo kwani ameifanyia mambo makubwa sekta ya kilimo.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇