Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mbezi Beach A, Kata ya Kawe Jijini
Dar es Salaam Esther Mwamyalla, katika juhudi zake za kuhakikisha
wananchi wake wanaoishi katika maeneo yote ya mtaa huo wanaishi kwa
usalama pamoja na mali zao, ameeledelea kuhimiza na kutoa elimu kwa
wananchi kuhusu umuhimu wa ulinzi shirikishi. Tafadhali msikilize
akieleza👇.
Your Ad Spot
Apr 21, 2025
Home
featured
KIJAMII
ESTHER MWAMYALLA AZIDI KUTOA ELIMU KUHUSU ULINZI SHIRIKISHI KWA WANANNCHI WA MTAA WA MBEZI BEACH A
ESTHER MWAMYALLA AZIDI KUTOA ELIMU KUHUSU ULINZI SHIRIKISHI KWA WANANNCHI WA MTAA WA MBEZI BEACH A
Tags
featured#
KIJAMII#
Share This
About CCM Blog
KIJAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇