Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mbezi Beach A, Kata ya Kawe Jijini
Dar es Salaam Esther Mwamyalla, katika juhudi zake za kuhakikisha
wananchi wake wanaoishi katika maeneo yote ya mtaa huo wanaishi kwa
usalama pamoja na mali zao, ameeledelea kuhimiza na kutoa elimu kwa
wananchi kuhusu umuhimu wa ulinzi shirikishi. Tafadhali msikilize
akieleza👇.
Apr 21, 2025
Home
featured
KIJAMII
ESTHER MWAMYALLA AZIDI KUTOA ELIMU KUHUSU ULINZI SHIRIKISHI KWA WANANNCHI WA MTAA WA MBEZI BEACH A
ESTHER MWAMYALLA AZIDI KUTOA ELIMU KUHUSU ULINZI SHIRIKISHI KWA WANANNCHI WA MTAA WA MBEZI BEACH A
Tags
featured#
KIJAMII#
Share This

About Bashir Nkoromo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇