Apr 26, 2025

DKT. NCHIMBI AUNGURUMA NYAMONGO TARIME

 



Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na wananchi wa Nyamongo, Tarime vijijini, aliposimama kuwasalimia wakati akiendelea na ziara yake ya siku tano katika maeneo mbalimbali ya wilaya za Mkoa wa Mara, leo Jumamosi tarehe 26 Aprili 2025.








 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages