Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ametua Uwanja wa Ndege wa Masasi, mkoani Mtwara, akiwa safarini kuelekea Tunduru, mkoani Ruvuma, tayari kuanza ziara yake ya siku 5. Uwanjani hapo, Balozi Nchimbi amepokelewa na viongozi wa Chama na Serikali, wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Mtwara, Ndugu Saidi Musa Nyegedi.
Apr 2, 2025
Home
Unlabelled
DKT. NCHIMBI ATUA MASASI KUANZA ZIARA TUNDURU
DKT. NCHIMBI ATUA MASASI KUANZA ZIARA TUNDURU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇