Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mafunzo na Ufundi Stadi (VETA), CPA. Anthony Kasore akijibu maswali kutoka kwa Mhariri wa Mtandao huu alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari katika Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Machi 3, 2025 kuhusu mafanikio ya miaka minne ya Taasisi hiyo katika Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Sulihu Hassan.
Waandishi wa habari wakiuliza maswali wakati wa mkutano huo
Wanahabari wakisikiliza kwa makini kuhusu majukumu ya VETA.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇