LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 12, 2025

TUMEWAITA CAF WAJE WAKAGUE UPYA UWANJA WA MKAPA UKO TAYARI


Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akitoa akielezea ukweli kuhusu hali ya Uwanja wa Benjamini Mkapa kwamba uko vizuri na tayari kuruhusu mechi kuchezwa hapo kutokana na matengenezo makubwa yaliyofanywa ilikiwemo eneo la kuchezea.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages