LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 10, 2025

MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM, LEO MJINI DODOMA


Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi kabla ya kuanza kuongoza Kikao cha Kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Mkoani Dodoma, leo Machi 10, 2025. CCM imeshamteua Dk. Samia kuwa mgombea wake wa Urais (2025) na Dk. Nchimbi kuwa Mgombea Mwenza.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kawaida cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika Mkoani Dodoma, leo Machi 10, 2025.
Kikao hicho kikiendelea.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Stephen Wasira (kushoto) akishiriki kikao hicho, ambacho kwake ni cga kwanza akiwa kwenye nafasi hiyo.
 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages