Mar 20, 2025

BENKI YA TIB YATOA MIKOPO SH. BIL. 162 KWA WAKULIMA KWA RIBA NAFUU


 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo  (TIB), Lilian Mbassy akizungumza na waandhishi wa habari katika Idara ya Habari - MAELEZO jijini Dodoma, kuhusu mafanikio na mwelekeo wa benki hiyo kwa miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na  Rais Samia Suluhu Hassan.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MHARIRI 
BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages