LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 18, 2025

BMT YATAJA MAFANIKIO LUKUKI SEKTA YA MICHEZO AWAMU YA RAIS SAMIA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa, Neema Msitha akielezea baadhi ya mafanikio katika sekta ya michezo hasa katika Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Msitha ameweka wazi mafanikio hayo katika mkutano na vyombo vya habari jijini Dodoma leo Februari 18, 2025 katika utaratibu wa Taasisi kuelezea mafanikio yao katika awamu hiyo.
Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.


Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa, Neema Msitha akielezea baadhi ya mafanikio katika sekta ya michezo hasa katika Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Msitha ameweka wazi mafanikio hayo katika mkutano na vyombo vya habari jijini Dodoma leo Februari 18, 2025 katika utaratibu wa Taasisi kuelezea mafanikio yao katika awamu hiyo.
Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MHARIRI
 BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages