![]() |
| Innocent Lugha Bashungwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. |
![]() |
| Dkt. Damas Daniel Ndumbaro kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. |
![]() |
| Dkt. Ashatu Kachwamba Kijaji kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi. |
![]() |
| Mhandisi Hamad Yusuf Masauni kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira). |
![]() |
| Abdallah Hamis Ulega kuwa Waziri wa Ujenzi. |
![]() |
| Mhandisi Maryprisca Winfried Mahundi kuwa Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. |
![]() |
| Hamis Mohamed Mwinjuma kuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. |
![]() |
| Dkt. James Henry Kilabuko kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu). |
![]() |
| Dkt. Stephen Justice Nindi, kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo (Ushirika na Umwagiliaji). |
![]() |
| Anderson Gukwi Mutatembwa kuwa Balozi. |
![]() |
| Mobhare Holmes Matinyi kuwa Balozi. |
![]() |
| Kamishna wa Polisi Hamad Khamis Hamad kuwa Balozi. |
![]() |
| Kamishna wa Polisi Suzan Salome Kaganda kuwa Balozi. |















No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇