Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Viwanda, Biashara na Mifugo, Deodatus Mwanyika ametoa maagizo makubwa kwa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuongeza nguvu, umadhubuti na weredi kuhakikisha bidhaa zinakuwa na ubora unaotakiwa. Pia amekiagiza Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) kuhakikisha wanatengeneza zana za kilimo zenye ubora na za bei nafuu wanazoweza kuzimudu hata wananchi wa hali ya chini.
Mwanyika akiongoza kikao hicho.
Waziri wa Viwanda na Biashara, Seleman Jaffo akifafanua jambo katika kikao hicho.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Camartec, Mhandisi Godfrey Mwanama akiwasilisha taarifa ya kituo hicho.
Baadhi ya maafisa wa wizara hiyo na taasisi hizo.
Baadhi ya wabunge ambao ni wajumbe wa kamati hiyo.
IMEANDALIWA NA
RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇