Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe, Neema Mwandabila akiwahamasisha wanawake kujitokeza kwa wiki kugombea uongozi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoani humo.
Ametoa wito huo wakati wa ziara yake aliyoifanya hivi katibuni katika Kata mbalimbali mkoani humo.
Baadhi ya wanawake walioshiriki kikao hicho cha ndani.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇