LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 28, 2024

MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA IGUNGA NA WAKUU WA IDARA KUPOKEA TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA ILANI

Na Victor Makinda, Igunga

Katibu wa CCM wilaya ya Igunga, Ebenezer  Mainoya alizungumza  kwenye ufunguzi wa kikao hicho.

Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Igunga,  Mafunda Temanywa akifungua kikao hicho kwenyw ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora leo.

Kaimu Mkurugenzi  wa Halmashauri  ya wilaya ya Igunga, Joseph Mafuru akifafanua jambo kwenye kikao  cha uwasilishaji wa ilani ya CCM kwa wajumbe wa Halmashauri  kuu ya wilaya.



Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Afisa tarafa ya Igunga, Saimon Marando,  akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa wajumbe wa Halmashauri  kuu ya wilaya ya Igunga.




No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages