Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wananchi wa Mji wa Bomang’ombe, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, leo Juni 4, 2024, katika Uwanja wa Bomang’ombe, ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi mkoani humo, ambapo mbali ya umati mkubwa wa wananchi, Balozi Nchimbi na msafara wake, alikaribishwa na Viongozi wa Kimila wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Your Ad Spot
Jun 5, 2024
DK NCHIMBI ALAKIWA KICHIFU KILIMANJARO
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About Blogger
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot







No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇