LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 15, 2024

RAIS DK. SAMIA ALIPOKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA UFARANSA MACRON, IKULU MJINI PARIS, JANA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, baada ya kuwasili Ikulu ya Paris nchini humo jana, Mei 14, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Wanajeshi wa Ufaransa, alipokuwa akiwasili Ikulu ya Paris nchini humo jana, Mei 14, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, akiongoza ujumbe wake katika mazungumzo na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, Ikulu ya Paris nchini humo jana, Mei 14, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, akiwa kwenye picha ya pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, baada ya mazungumzo yao katika Ikulu ya Paris nchini humo, jana Mei 14, 2024. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki January Makamba na kulia, Waziri wa Nchi anayeshughulikia Maendeleo ya Kitaifa ya Ufaransa Dk. Chrysoula Zacharopoulou wakiwa wameshikaTamko la Paris katika kuimarisha ushirikiano wa Kidiplomasia na Kiuchumi baina ya nchi mbili.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages