Naibu Waziri wa Ujenzi, Kasekenya akizungumza na watumishi wa Makao Makuu ya wizara hiyo kwenye manonesho hayo.
Mbunge wa Viti Maalumu, Olover Semuguruka akipata maelezo kutoka kwa afisa wa wizara hiyo, alipotembelea banda la Kanda ya Ziwa.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida, Rose akitia saini kwenye kitabu cha kumbukumbuKanda
Mbunge wa Viti Maalumu, Neema Mgaya akitembelea moja ya mabanda
Vifaa vya kupimia udongo, kokoto na mchanga wa kujengea barabara vikioneshwa kwenye maonesho hayo.
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇