Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amefanya ziara katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC).
Kinana amefanya ziara hiyo Kuona namna TBC inavyoendesha shughuli zake. Ametembelea maktaba inayohifadhi historia ya tanazania, harakati za ujenzi wa taifa, na mchango wa Tanzania kwa ukombozi wa Bara la Afrika.






No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇