LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 10, 2024

TANAPA YAWATOA HOFU WATALII, YAKARABATI BARABARA ZOTE KWENYE HIFADHI

Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kuwa Mamlaka ya Hifadhi Tanzania  (TANAPA) imefanikiwa kuzifanyia matengenezoBarabara zote za hifadhi zilizoharibiwa na mvua za Elnino.


Pamoja na mambo mengine , Matinyi ameyasema hayo katika mkutano wa vyombo vya habari jijini Dodoma Machi 10, 2024, ambapo baadhi ya maofisa wa TANAPA walihudhuria.


Sehemua wanahabari wakiwa katika mkutano huo
Baadhi maafisa wa TANAPA



Maafisa wa TANAP


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages