RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapimduzi (CCM), Komredi Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.Uteuzi huo, umetangazwa leo kupitia Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu.
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇