Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma leo tarehe 01 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Ibrahim Hamis Juma wakati wa Maadhimisho ya kilele cha Wiki ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Spika wa Bunge Dk. Tulia Akson wakati wa Maadhimisho ya kilele cha Wiki ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma tarehe 01 Februari, 2024.
Feb 1, 2024
Home
featured
Kitaifa
RAIS DK. SAMIA AHUTUBIA KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA MJINI DODOMA, LEO
RAIS DK. SAMIA AHUTUBIA KILELE CHA MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA MJINI DODOMA, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This

About Bashir Nkoromo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇