LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 26, 2024

CHATANDA AIPA KONGOLE YANGA KUTINGA ROBO FAINALI AFRIKA

 


 Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania, Mary Chatanda ameipongeza Klabu ya Yanga kwa ushindi mkubwa iliyoupata wa magoli 4-0 dhidi ya AC Belouizdad ya Algeria katika mchezo wa Klabu BINGWA AFRIKA uliofanyika Jumamosi Februari 24, 2024 kwenye Simba la Benjamin Mkapa Dar.

Kwa ushindi huo YANGA imetinga moja kwa moja robo fainali ya michuano hiyo ikiwa na mechi moja mkononi dhidi Al AHLY ya Misri.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages