LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 22, 2023

RAIS MSTAAFU DK. KIKWETE ASHIRIKI MISHENI YA SADC KWENYE UCHAGUZI MKUU CONCO-DRC

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE)  akiongea na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi na timu yake wa DRC  jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.
 
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE akitembelea mojawapo ya vituo vya kupigia kura jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.
Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee wa SADC (SADC Panel of Elders-POE akitembelea mojawapo ya vituo vya kupigia kura jijini Kinshasha katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako yuko kushiriki Misheni ya SADC kwenye uchaguzi wa nchi hiyo uliofanyika jana tarehe 20 Desemba 2023.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages