LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 23, 2023

GAVU ATEMA CHECHE KWA VIONGOZI WASIO WAJALI WANANCHI

 

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Oganaizesheni, Issa Haji Gavu amesema kuwa CCM haitokuwa tayari kumbeba kiongozi asiyehangaika na changamoto za wananchi.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza hivi karibuni katika kikao cha Baraza la Wazee mkoani Singida.

Mdau nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Komredi Gavu akitoa ujumbe huo muhimu

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203

...

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages