08/11/2023
Temeke
Kamati ya siasa ya mkoa wa Dar es Salaam, imefanya ziara wilaya ya Temeke na kukagua miradi Sita iliyotekelezwa na Serikali ya wamu ya sita na fedha za ndani za halmashauri Own-source.
Miradi iliyotembelewa ni miradi ya huduma za kijamii shule Sekondari Lumo, msingi Si na awali sigara na vituo vya afya kurasini, Mkundongwa.
Hakika miradi yote imetekelezwa kwa kiwango cha juu. Pongezi kwa Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa kuimarisha na kusogeza huduma za kijamii kwa wananchi wa Temeke.
Pichani.
Mwenyekiti wa Uwt Mkoa Dsm Ndugu Mwajabu Mbwambo (Katikati), akiwa na Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi ndugu Khadija Said (kushoto) na Abubakari Abubakar mjumbe Kamati ya siasa mkoa
Mwenyekiti wa Uwt Mkoa Dsm Ndugu Mwajabu Mbwambo akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali walioshiriki ziara hiyo alwakiwemo Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi ndugu Khadija Said na Abubakari Abubakar mjumbe Kamati ya siasa mkoa
Ukumbini.
.
Uwt Imara
Jeshi la Mama
Kazi iendelee








No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇