LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 1, 2023

RAIS DK. SAMIA AMTEMBELEA NYUMBANI WAZIRI MKUU STAAFU DK. SALIM AHMED SALIM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemtembelea na kumjulia hali, Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Dkt. Salim Ahmed Salim, nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, baada ya uzinduzi wa Tovuti ya Hifadhi ya Nyaraka za Kumbukumbu za Kidigitali za Mwanadiplomasia huyo mbobezi, kwenye hafla iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam jana, Septemba 30, 2023.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages