Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Daniel Chongolo akihutubia katika kikao cha Shina namba 6 linaloongozwa na Mwanyekiti Konordi Wamwelu katika Kijiji cha Singiwe, Kata ya Lyowa wilayani Kalambo, Rukwa Oktoba 9, 2023 wakati wa ziara ya kuiamarisha uhai wa chama, kusikiliza kero za wananchi na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM mkoani Katavi Oktoba 6, 2023.
Wananchi wakiimba wimbo wakati wa kumkaribisha Komredi Chongolo.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere akihutubia wakati wa kikao hicho alichokitumia pia kujitambulisha.
Katibu wa NEC Oganaizesheni ya CCM, Issa Haji Gavu
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Rukwa,
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
Your Ad Spot
Oct 9, 2023
Home
Unlabelled
CHONGOLO ASHIRIKI KIKAO SHINA NAMBA 6 SINGIWE WILAYANI KALAMBO
CHONGOLO ASHIRIKI KIKAO SHINA NAMBA 6 SINGIWE WILAYANI KALAMBO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇