Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge umeanza Jijini Dodoma ambapo shughuli ya kwanza katika Kikao cha Kwanza cha Mkutano Mkutano huo ilikuwa ni Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (Mb) kumuapisha Mheshimiwa Bahati Kenneth Ndingo ambaye alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbarali kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Marehemu Francis Mtega.
Your Ad Spot
Oct 31, 2023
BAHATI NDINGO AAPISHWA KUWA MBUNGE WA MBARALI
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About Richard Mwaikenda
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot




No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇