LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 31, 2023

BAHATI NDINGO AAPISHWA KUWA MBUNGE WA MBARALI



Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge umeanza Jijini Dodoma ambapo shughuli ya kwanza katika Kikao cha Kwanza cha Mkutano Mkutano huo ilikuwa ni Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson (Mb) kumuapisha Mheshimiwa Bahati Kenneth Ndingo ambaye alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbarali kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Marehemu Francis Mtega.




 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages