Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa pamoja na Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu kuashiria uzinduzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini iliyopo Mikindani Mkoani Mtwara tarehe 15 Septemba, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali wakati akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini iliyopo Mikindani Mkoani Mtwara tarehe 15 Septemba, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo ndani ya Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini baada ya kuizndua hospitali hiyo iliyopo Mikindani Mkoani Mtwara tarehe 15 Septemba, 2023. (Picha zote na Ikulu)
Your Ad Spot
Sep 15, 2023
Home
Afya
featured
ZIARA YA RAIS DK. SAMIA KUSINI, AZINDUA HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA KUSINI MKOANI MTWARA, LEO
ZIARA YA RAIS DK. SAMIA KUSINI, AZINDUA HOSPITALI YA RUFAA KANDA YA KUSINI MKOANI MTWARA, LEO
Tags
Afya#
featured#
Share This
About CCM Blog
featured
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot



No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇