LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 12, 2023

RAIS MSTAAFU DK. KIKWETE AWASILISHA MADA KATIKA MKUTANO WA 43 WA WAKUU WA NCHI ZA SADC, MJINI LUANDA, ANGOLA

Rais Mtaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati), akiwasilisha mada kwenye mhadhara wakati wa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), jijini Luanda Angola. Kushoto ni Katibu Mkuu Mstaafu wa tatu wa SADC, Mhe. Tomaz Salomao na kulia ni Waziri Mkuu Mstaafu wa Msumbiji, Mhe. Luisa Diogo.
Wajumbe kutoka nchi 16 za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa Mkutano wa 43 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), jijini Luanda Angola.

Rais Mtaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (wa nne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe kutoka Tanzania katika viwanja vya Chuo cha Diplomasia Angola baada ya kuwasilisha mada kwa wajumbe wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na wanafunzi wa chuo hicho, jijini Luanda Angola. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano, WF, Luanda, Angola)

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages