Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Godrefy Chongolo, amekutana kwa ajili ya mazungumzo na Kansela wa Chama Cha Kikomunisti Cha China (CPC) katika Ubalozi wa China nchini Tanzania Ndugu Xu Sujiang pamoja na Kansela wa Uchumi na Biashara wa ubalozi huo, Chu Kun, leo Jumanne, Agosti 22, 2023, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba, jijini Dar es salaaam.
Your Ad Spot
Aug 22, 2023
Home
Unlabelled
CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA KANSELA WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA
CHONGOLO AFANYA MAZUNGUMZO NA KANSELA WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇