Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Mstaafu (UN) Ban Ki-moon, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Ban Ki-moon jijini Seoul, Korea Kusini, jana.
Dkt. Kikwete, ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education) - GPE) yuko Seoul, Korea Kusini, kwa ajili ya kukutana na viongozi wa Serikali na Mashirika Mbalimbali ya Korea Kusini kwa ajili ya kujadili mikakati ya kuendelea kuboresha elimu katika nchi zinazoendelea. GPE ambayo ilianzishwa na nchi za G7 miaka 20 iliyopita, imeendelea kupigania elimu kwa ajili ya mtoto wa kike na wa kiume kwa kuomba kuungwa mkono na nchi na taasisi zinazoweza kuchangia katika elimu duniani.
Your Ad Spot
May 12, 2023
Home
featured
siasa
RAIS MSTAAFU DK. KIKWETE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU MSTAAFU WA UN BAN-KIMOON JIJINI SEOUL, KOREA KUSINI, JANA
RAIS MSTAAFU DK. KIKWETE AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KATIBU MKUU MSTAAFU WA UN BAN-KIMOON JIJINI SEOUL, KOREA KUSINI, JANA
Tags
featured#
siasa#
Share This
About Bashir Nkoromo
siasa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇