Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika akihoji bungeni Dodoma Mei 11, 2023 kwamba ni nini mpango wa serikali kufufua kiwanda cha maziwa Njombe?
Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, akihimiza ufufuaji wa kiwanda hicho...
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇