LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 10, 2023

MATUKIO BUNGENI LEO

 Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akiwa na Naibu Waziri wa Maji Mary Prisca Mahundi baada yakuwasilisha bajeti ya wizara yake, leo Bungeni Mjini Dodoma
Baadhi ya Wabunge wakiwa nje yaukumbi wa Bunge mjini Dodoma, leo.
Baadhi ya Wabunge wakiwa nje yaukumbi wa Bunge mjini Dodoma, leo.
Prof. Palamagamba Kabudi akibadilishana mawazo na Erick Shigongo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, leo
Waziri wa Maji Juma Aweso akiwa na Mhandisi wa Maji Ndugu Samwel baada ya kutoka ukumbi wa Bunge kuwasilisha Bajeti ya wizara yake, leo. (Picha zote na Lawi Gambiye)

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages