Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye akiwa na Naibu Waziri wa Maji Mary Prisca Mahundi baada yakuwasilisha bajeti ya wizara yake, leo Bungeni Mjini DodomaBaadhi ya Wabunge wakiwa nje yaukumbi wa Bunge mjini Dodoma, leo.
Baadhi ya Wabunge wakiwa nje yaukumbi wa Bunge mjini Dodoma, leo.
Prof. Palamagamba Kabudi akibadilishana mawazo na Erick Shigongo kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, leo
Waziri wa Maji Juma Aweso akiwa na Mhandisi wa Maji Ndugu Samwel baada ya kutoka ukumbi wa Bunge kuwasilisha Bajeti ya wizara yake, leo. (Picha zote na Lawi Gambiye)
Your Ad Spot
May 10, 2023
MATUKIO BUNGENI LEO
Tags
Bunge#
featured#
Share This
About Bashir Nkoromo
featured
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇