Mbunge wa Viti Maalumu, Mkoa wa Singida, Martha Gwau ameiomba serikali kuwalinda wakulima wa alizeti kwa kuwaongezea kodi waagizaji wa mafuta ya kula nje ya nchi lakini pia kutoa ruzuku kwa viwanda vya ndani vinavyozalisha mbolea ili bei iwe ya chini. Ameyasema hayo akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo bungeni Dodoma Mei 9, 2023.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Gwau akiwapambania wakulima...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇