LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 17, 2023

MWANTONA AMPONGEZA RAIS SAMIA KUIMWAGIA RUNGWE FEDHA ZA MIRADI+video

 Mbunge wa Rungwe, Anton Mwantona amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Rungwe fedha nyingi za miradi ya maendeleo.

Aidha ameiomba serikali kuiongezea fedha Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) ili kuongeza kasi ya ujenzi wa barabara katika jimbo hilo.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwantona akitoa pongezi hizo na kuomba TARURA iongezewe fedha...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages