LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 31, 2023

YANGA YATINGA LUBUMBASHI NA 'FULL NONDO' YA VIONGOZI


 ... Miongoni mwa viongozi wakubwa wa Yanga waliokwenda Dr Congo ni ;

▪️GSM - Muwekezaji wa Yanga
▪️Eng. Hersi Said - Rais wa Yanga
▪️Andrew Mtine - CEO wa Yanga
▪️Abbas Tarimba - Mwenyekiti wa baraza la wadhamini wa klabu ya Yanga.
📌 Inaelezwa kuwa licha ya kwenda kwa ajili ya mchezo dhidi ya Tp Mazembe lakini pia watafanya makubaliano ya awali ya usajili ya wachezaji wawili.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages