LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 5, 2023

OSHA YATAJA MAJUKUMU YAKE MAKUU YA KULINDA USALAMA, AFYA ZA WAFANYAKAZI+video


Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA), Khadija Mwenda akizungumza kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Osha katika mkutano na vyombo vya habari kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari-MAELEZO, jijini Dodoma Machi 4, 2023. Ametaja majukumu makuu ya kusimamia na kulinda usalama na afya mahali pa kazi.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari -MAELEZO, Zamaradi Kawawa akiongoza mkutano huo.


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mwenda akitaja majukumu hayo...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages