"Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila hatua . Kwa hakika kupitia wewe utukufu wako umeonekana. Namshukuru Rais wetu Samia_Suluhu_Hassan kwa kuniamini na kuniteuwa kwenda kumsaidia upande wa Watumishi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Utawala Bora. Ni heshima kubwa sana umetupa. Ahadi kwako na Watanzania nitafanya kazi kwa nguvu na vipawa vyangu vyote." #KaziInaendelea #MaslahiWafanyakazi
Your Ad Spot
Feb 28, 2023
RIDHIWANI KIKWETE AMSHUKURU RAIS SAMIA KUENDELEA KUMUAMINI
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About Author CCM Blog
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇