Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano, Sheikh Alhad Mussa amepongezwa na wajumbe wa kamati hiyo kwa kazi nzuri ya kuiunganisha na Kamati ya Aman kudumisha amani nchini.
Pongezi hizo zimetolewa wakati wa mkutano uliofanyika jijini Dodoma Febrari 15, 2023, chini ya Mlezi wao Waziri Mkuu mstaafu, Mzee Mizengo Pinda.
Wamesema kuwa pamoja na kadhia aliyoipata hivi karibuni ya kuvuliwa u Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, lakini wao wana imani naye kutokana na uongozi wake imara katika jumuiya hiyo.
Mizengo Pinda
Alhad Mussa akiwa na PindaViongozi mbalimbali wa Jumuiya hiyo
Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo,
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano Mkoa wa Dodoma, Askofu Dkt. Evance Chande akitoa utambulisho.
Sehemu ya wajumbe wa Jumuiya hiyo kutoka mikoa mbalimbali nchini.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, wajumbe wakielezea imani waliyonayo na Sheikh Alhad Mussa huku Mzee Pinda akiipongeza jumuiya hiyo kwa kudumisha amani nchini...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇