LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 11, 2023

WAZIRI CHANA: TUMEDHAMIRIA KUPANDA MITI MILIONI 22

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana, akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana,akiwasaidia Wanafunzi kuweka udongo wakati wakipanda  miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Naibu Katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Abdallah Mitawi, akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Fatma Mganga,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Jabir Shekimweri,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Diwani wa kata ya Ipagala  Mhe.Dotto Gombo,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) Mhandisi Aron Joseph,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .



Mkurugenzi wa jiji la Dodoma Joseph Mafuru,akipanda miti Katika Eneo la Swaswa Bwawani kata ya Ipagala  jijini Dodoma leo Januari 11, 2023 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 59, ya Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, mwaka huu .

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Waziri Pindi Chana akielezea mkakati huo huku viongozi wengine wakiahidi utekelezaji ....

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages