LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 13, 2023

SIMBA SC YABAGAZWA 1-0 NA AL DHAFRA LEO ABU DHABI

 


TIMU ya Simba SC ya Dar es Salaam imepoteza mechi yake ya kwanza ya kirafiki katika kambi yake fupi Falme za Kiarabu (UAE) baada ya kuchapwa 1-0 na wenyeji, Al Dhafra ya Madinat Zayed leo mjini Abu Dhabi.

Simba SC ambayo sasa chini ya kocha Mbrazil, Roberto Oliveira Goncalves do Carmo, maarufu kama Robertinho aliyeiongoza timu kwenye mechi ya kwanza leo, itaerejea mazoezini kesho Dubai kabla ya Jumapili kucheza mwingine wa kirafiki dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages