LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 1, 2022

RC SENYAMULE AKIPONGEZA CHUO CHA DON BOSCO KUWAPATIA BURE VIFAA WAHITIMU VYA KUANZIA KAZI+video

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Snyamule ameupongeza uongozi wa Chuo cha Ufundi cha Don Bosco cha jijini Dodoma kwa uamuzi wa kuwapatia bure vifaa baadhi ya wahitimu wa chuo hicho kwa ajili kuanzia kazi kwa lengo la kujiajiri.Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Snyamule ameupongeza uongozi wa Chuo cha Ufundi cha Don Bosco cha jijini Dodoma kwa uamuzi wa kuwapatia bure vifaa baadhi ya wahitimu wa chuo hicho kwa ajili kuanzia kazi kwa lengo la kujiajiri.

Pia alitoa pongezi kwa utoaji barabara kwa Taifa, kazi ya utume na utoaji elimu ya ujuzi kwa vijana. Pongezi hizo alizitoa alipokuwa mgeni rasmi katika Mahafali ya 36 ya chuo hicho Ijumaa Novemba 25, 2022 ambapo wahitimu 15 wamenufaika na utaratibu huo.
Pongezi hizo alizitoa alipokuwa mgeni rasmi katika Mahafali ya 36 ya chuo hicho Ijumaa Novemba 25, 2022 ambapo wahitimu 15 wamenufaika na utaratibu huo.
Baadhi ya wahitimu 276
Mkuu wa Chuo hicho, Boniface Mchami akiteta jambo na RC Senyamule.
RC Senyamule akiwa na viongozi mbalimbali waliohudhuria mahafali hayo.


Mmoja wa wanafunzi walionufaika kwa kupatiwa vifaa vya kazi akitoa neno la shukrani  kwa chuo kwa niaba ya wenzake.
Baadhi ya wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa wahitimu

RC Senyamule akiwakabidhi vyeti baadhi ya wahitimu.

 PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, RC Senyamule Akitoa pongezi hizo....

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
 MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM
 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages